Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amehimiza watendaji wa Ofisi hiyo kuendelea kuchapa kazi kwa bidii ili kufikia malengo yaliyowekwa katika hifadhi endelevu ya mazingira. Amesema Ofisi ya Makamu wa Rais ni pana na inagusa moja kwa moja maisha ya kila siku ya wananchi hivyo wanahitaji […]